Amo. 4:1 SUV

1 Lisikieni neno hili, enyi ng’ombe wa Bashani, mnaokaa juu ya mlima wa Samaria, mnaowaonea maskini, na kuwaponda wahitaji; mnaowaambia bwana zao, Haya! Leteni, tunywe.

Kusoma sura kamili Amo. 4

Mtazamo Amo. 4:1 katika mazingira