Amo. 4:11 SUV

11 Baadhi yenu nimewaangamiza, kama hapo Mungu alipoiangamiza Sodoma na Gomora, nanyi mkawa kama kinga kilichonyakuliwa motoni; lakini hamkunirudia mimi, asema BWANA.

Kusoma sura kamili Amo. 4

Mtazamo Amo. 4:11 katika mazingira