Amo. 8:2 SUV

2 Akaniambia, Amosi, unaona nini? Nikasema, Naona kikapu cha matunda ya wakati wa hari. Ndipo BWANA akaniambia, Mwisho wao umewajilia watu wangu Israeli; sitawapita tena kamwe.

Kusoma sura kamili Amo. 8

Mtazamo Amo. 8:2 katika mazingira