Amo. 9:14 SUV

14 Nami nitawarejeza tena watu wangu Israeli waliohamishwa, nao wataijenga miji iliyoachwa maganjo, na kukaa ndani yake; nao watapanda mizabibu katika mashamba, na kunywa divai yake; nao watafanyiza bustani, na kula matunda yake.

Kusoma sura kamili Amo. 9

Mtazamo Amo. 9:14 katika mazingira