Amu. 13:8 SUV

8 Ndipo huyo Manoa akamwomba BWANA, akisema, Ee Bwana, nakuomba, yule mtu wa Mungu uliyemtuma na aje kwetu mara ya pili, atufundishe hayo yatupasayo kumfanyia huyo mtoto atakayezaliwa.

Kusoma sura kamili Amu. 13

Mtazamo Amu. 13:8 katika mazingira