Amu. 19:30 SUV

30 Basi ikawa, wote walioliona jambo hilo wakasema, Jambo kama hili halijatendeka wala kuonekana tangu siku hiyo wana wa Israeli walipokwea kutoka katika nchi ya Misri hata leo; haya, lifikirini, fanyeni shauri, mkanene.

Kusoma sura kamili Amu. 19

Mtazamo Amu. 19:30 katika mazingira