Amu. 6:15 SUV

15 Akamwambia, Ee Bwana, nitawaokoa Israeli kwa jinsi gani? Tazama, jamaa zangu ndio walio maskini sana katika Manase, na mimi ndimi niliye mdogo katika nyumba ya baba yangu.

Kusoma sura kamili Amu. 6

Mtazamo Amu. 6:15 katika mazingira