Amu. 6:35 SUV

35 Kisha akatuma wajumbe waende kati ya Manase yote; wao nao walikutana pamoja ili kumfuata; kisha akatuma wajumbe waende kwa Asheri, na kwa Zabuloni, na kwa Naftali; nao wakakwea ili kumlaki.

Kusoma sura kamili Amu. 6

Mtazamo Amu. 6:35 katika mazingira