Amu. 7:20 SUV

20 Vile vikosi vitatu wakapiga tarumbeta, wakaivunja mitungi, wakaishika mienge kwa mikono yao ya kushoto, na zile tarumbeta katika mikono yao ya kuume ili kuzipiga; wakapiga kelele, Upanga wa BWANA na wa Gideoni.

Kusoma sura kamili Amu. 7

Mtazamo Amu. 7:20 katika mazingira