1 Basi watu wa Efraimu wakamwambia, Kwa nini wewe kututendea sisi kama haya? Hata usituite, hapo ulipokwenda kupigana na Midiani? Nao wakateta naye sana.
Kusoma sura kamili Amu. 8
Mtazamo Amu. 8:1 katika mazingira