Amu. 9:5 SUV

5 Kisha akaenda nyumbani kwa babaye huko Ofra, akawaua nduguze, hao wana wa Yerubaali, watu sabini, akawaua juu ya jiwe moja; lakini Yothamu, mwana mdogo wa Yerubaali, alisalia; kwa maana alijificha.

Kusoma sura kamili Amu. 9

Mtazamo Amu. 9:5 katika mazingira