Dan. 1:8 SUV

8 Lakini Danieli aliazimu moyoni mwake ya kuwa hatajitia unajisi kwa chakula cha mfalme, wala kwa divai aliyokunywa; basi akamwomba yule mkuu wa matowashi ampe ruhusa asijitie unajisi.

Kusoma sura kamili Dan. 1

Mtazamo Dan. 1:8 katika mazingira