Eze. 12:16 SUV

16 Lakini nitawasaza watu wachache miongoni mwao na kuwaokoa na upanga, na njaa, na tauni ili watangaze habari ya machukizo yao yote, kati ya mataifa huko waendako; nao watajua ya kuwa mimi ndimi BWANA.

Kusoma sura kamili Eze. 12

Mtazamo Eze. 12:16 katika mazingira