Eze. 12:2 SUV

2 Mwanadamu, wewe unakaa kati ya nyumba iliyoasi, watu ambao wana macho ya kuona, ila hawaoni, wana masikio ya kusikia, ila hawasikii; kwa maana ni nyumba iliyoasi.

Kusoma sura kamili Eze. 12

Mtazamo Eze. 12:2 katika mazingira