Eze. 20:3 SUV

3 Mwanadamu, sema na wazee wa Israeli, uwaambie, Bwana MUNGU asema hivi; Je! Mmekuja kuniuliza neno? Kama mimi niishivyo, asema Bwana MUNGU, sitaulizwa neno na ninyi.

Kusoma sura kamili Eze. 20

Mtazamo Eze. 20:3 katika mazingira