Eze. 20:41 SUV

41 Nitawatakabali kama harufu ipendezayo, nitakapowatoa katika mataifa, na kuwakusanya toka nchi zile mlizotawanyika; nami nitatakaswa kwenu machoni pa mataifa.

Kusoma sura kamili Eze. 20

Mtazamo Eze. 20:41 katika mazingira