Eze. 32:26 SUV

26 Mesheki yuko huko, na Tubali, na watu wake wote jamii; makaburi yake yamzunguka; wote pia hawakutahiriwa, wameuawa kwa upanga; maana walifanya utisho wao katika nchi ya walio hai.

Kusoma sura kamili Eze. 32

Mtazamo Eze. 32:26 katika mazingira