Eze. 33:10 SUV

10 Na wewe, mwanadamu, sema na nyumba ya Israeli; Ninyi mwasema hivi, kwamba, Makosa yetu na dhambi zetu ni juu yetu, nasi tumedhoofika katika dhambi hizo; basi tungewezaje kuwa hai?

Kusoma sura kamili Eze. 33

Mtazamo Eze. 33:10 katika mazingira