Eze. 33:2 SUV

2 Mwanadamu, sema na wana wa watu wako, uwaambie, Hapo nitakapoleta upanga juu ya nchi, watu wa nchi hiyo wakimtwaa mtu mmoja miongoni mwao, na kumweka awe mlinzi wao;

Kusoma sura kamili Eze. 33

Mtazamo Eze. 33:2 katika mazingira