Eze. 36:36 SUV

36 Ndipo mataifa, waliobaki karibu yenu pande zote, watajua ya kuwa mimi, BWANA, nimejenga mahali palipoharibika, nami nimepanda mbegu katika nchi iliyokuwa ukiwa; mimi, BWANA, nimesema hayo; tena nitayatenda.

Kusoma sura kamili Eze. 36

Mtazamo Eze. 36:36 katika mazingira