Eze. 4:14 SUV

14 Ndipo nikasema, Ee Bwana MUNGU, tazama, roho yangu haikutiwa unajisi; maana tangu ujana wangu hata sasa sijala nyamafu, wala iliyoraruliwa na hayawani; wala nyama ichukizayo haikuingia kinywani mwangu.

Kusoma sura kamili Eze. 4

Mtazamo Eze. 4:14 katika mazingira