Eze. 40:48 SUV

48 Ndipo akanileta mpaka ukumbi wa nyumba, akapima kila mwimo wa ukumbi, dhiraa tano upande huu, na dhiraa tano upande huu; na upana wa lango ulikuwa dhiraa tatu upande huu, na dhiraa tatu upande huu.

Kusoma sura kamili Eze. 40

Mtazamo Eze. 40:48 katika mazingira