Eze. 44:2 SUV

2 BWANA akaniambia, Lango hili litafungwa, halitafunguliwa, wala mtu awaye yote hataingia kwa lango hili, kwa maana BWANA, Mungu wa Israeli, ameingia kwa hilo; basi kwa sababu hiyo litafungwa.

Kusoma sura kamili Eze. 44

Mtazamo Eze. 44:2 katika mazingira