Eze. 47:2 SUV

2 Ndipo akanileta nje kwa njia ya lango upande wa kaskazini, akanizungusha kwa njia ya nje mpaka lango la nje, kwa njia yake iliyoelekea mashariki; na tazama, maji yalitoka upande wa kuume.

Kusoma sura kamili Eze. 47

Mtazamo Eze. 47:2 katika mazingira