30 Na wa wana wa Pahath-Moabu; Adna, na Kelali, na Benaya, na Maaseya, na Matania, na Besaleli, na Binui, na Manase.
31 Na wa wana wa Harimu; Eliezeri, na Ishiya, na Malkiya, na Shemaya, na Shimeoni,
32 na Benyamini, na Maluki, na Shemaria.
33 Na wa wana wa Hashumu; Matenai, na Matata, na Zabadi, na Elifeleti, na Yeremai, na Manase, na Shimei.
34 Na wa wana wa Bani; Maadai, na Amramu, na Ueli,
35 na Benaya, na Bedeya, na Keluhi,
36 na Wania, na Meremothi, na Eliashibu,