32 na Benyamini, na Maluki, na Shemaria.
33 Na wa wana wa Hashumu; Matenai, na Matata, na Zabadi, na Elifeleti, na Yeremai, na Manase, na Shimei.
34 Na wa wana wa Bani; Maadai, na Amramu, na Ueli,
35 na Benaya, na Bedeya, na Keluhi,
36 na Wania, na Meremothi, na Eliashibu,
37 na Matania, na Matenai, na Yaasu.
38 Na wa wana wa Binui; Shimei,