Ezr. 2:61 SUV

61 Tena wa makuhani; wana wa Habaya, wana wa Hakosi, wana wa Barzilai, yule aliyeoa mmojawapo wa binti Barzilai, Mgileadi, akaitwa kwa jina lao.

Kusoma sura kamili Ezr. 2

Mtazamo Ezr. 2:61 katika mazingira