Ezr. 5:8 SUV

8 Na ajue mfalme ya kuwa sisi tuliingia nchi ya Yuda, tukafika kunako nyumba ya Mungu mkuu, iliyojengwa kwa mawe makubwa, na miti imetiwa katika kuta zake, na kazi hii inaendelea kwa bidii, na kusitawi katika mikono yao.

Kusoma sura kamili Ezr. 5

Mtazamo Ezr. 5:8 katika mazingira