28 Kisha nikawaambia, Ninyi mmekuwa watakatifu kwa BWANA, na hivyo vyombo ni vitakatifu; na fedha na dhahabu ni matoleo ya hiari kwa BWANA, Mungu wa baba zenu.
Kusoma sura kamili Ezr. 8
Mtazamo Ezr. 8:28 katika mazingira