Ezr. 9:12 SUV

12 Basi, msiwape wana wao binti zenu, wala msitwae binti zao kuwa wake za wana wenu, wala msiwatakie amani wala kufanikiwa milele; ili mpate kuwa hodari, na kula wema wa nchi hiyo, na kuwaachia watoto wenu iwe urithi wa milele.

Kusoma sura kamili Ezr. 9

Mtazamo Ezr. 9:12 katika mazingira