Hos. 4:1 SUV

1 Lisikieni neno la BWANA, enyi wana wa Israeli; kwa maana BWANA ana mateto nao wakaao katika nchi, kwa sababu hapana kweli, wala fadhili, wala kumjua Mungu katika nchi.

Kusoma sura kamili Hos. 4

Mtazamo Hos. 4:1 katika mazingira