Kut. 14:19 SUV

19 Kisha malaika wa Mungu, aliyetangulia mbele ya jeshi la Israeli, akaondoka akaenda nyuma yao; na ile nguzo ya wingu ikaondoka hapo mbele yao, ikasimama nyuma yao;

Kusoma sura kamili Kut. 14

Mtazamo Kut. 14:19 katika mazingira