Kut. 15:19 SUV

19 Kwa maana farasi za Farao na magari yake na wapanda farasi wake waliingia ndani ya bahari, BWANA akayarudisha maji ya bahari juu yao; bali wana wa Israeli walikwenda katika nchi kavu katikati ya bahari.

Kusoma sura kamili Kut. 15

Mtazamo Kut. 15:19 katika mazingira