Kut. 17:12 SUV

12 Lakini mikono ya Musa ilikuwa mizito; basi wakatwaa jiwe, wakaliweka chini yake akalikalia. Haruni na Huri wakaitegemeza mikono yake, mmoja upande huu na mmoja upande huu; mikono yake ikathibitika hata jua lilipokuchwa.

Kusoma sura kamili Kut. 17

Mtazamo Kut. 17:12 katika mazingira