Kut. 18:18 SUV

18 Huna budi utadhoofika wewe, na hawa watu walio pamoja nawe pia; maana jambo hili ni zito mno kwako; huwezi wewe kulitenda peke yako.

Kusoma sura kamili Kut. 18

Mtazamo Kut. 18:18 katika mazingira