Kut. 21:29 SUV

29 Lakini kwamba huyo ng’ombe alizoea kupiga watu tangu hapo, naye mwenyewe ameonyeshwa jambo hilo, wala asimzuie, naye amemwua mtu mume au mwanamke; huyo ng’ombe atauawa kwa kupigwa kwa mawe, na huyo mwenyewe naye atauawa.

Kusoma sura kamili Kut. 21

Mtazamo Kut. 21:29 katika mazingira