Kut. 28:21 SUV

21 Na vile vito vitakuwa sawasawa na majina ya wana wa Israeli, kumi na viwili, sawasawa na majina yao; mfano wa kuchora kwa muhuri kila kimoja sawasawa na jina lake, vitakuwa vya hizo kabila kumi na mbili.

Kusoma sura kamili Kut. 28

Mtazamo Kut. 28:21 katika mazingira