Kut. 36:2 SUV

2 Basi Musa akawaita Bezaleli na Oholiabu, na kila mtu aliyekuwa na moyo wa akili, ambaye BWANA alimtia moyoni mwake hekima, kila mtu ambaye moyo wake ulimhimiza ili aende kuifanya kazi hiyo;

Kusoma sura kamili Kut. 36

Mtazamo Kut. 36:2 katika mazingira