Kut. 37:9 SUV

9 Na hayo makerubi yakayanyosha mabawa yao juu, na kukifunika hicho kiti cha rehema kwa mabawa yao, na nyuso zao zilikuwa zaelekeana hili na hili; nyuso za hayo makerubi zilikuwa zikielekea kiti cha rehema.

Kusoma sura kamili Kut. 37

Mtazamo Kut. 37:9 katika mazingira