Kut. 39:20 SUV

20 Nao wakafanya pete mbili za dhahabu, na kuzitia katika vile vipande viwili vya ile naivera chini yake, upande wa mbele, karibu na kifungo chake, juu ya huo mshipi wa naivera uliosukwa kwa ustadi.

Kusoma sura kamili Kut. 39

Mtazamo Kut. 39:20 katika mazingira