Kut. 8:29 SUV

29 Musa akasema, Tazama, mimi natoka kwako, nami nitamwomba BWANA ili hao mainzi wamtoke Farao, na watumishi wake, na watu wake kesho; lakini Farao asitende kwa udanganyifu tena, kwa kutowaacha watu waende kumchinjia BWANA dhabihu.

Kusoma sura kamili Kut. 8

Mtazamo Kut. 8:29 katika mazingira