Mal. 2:13 SUV

13 Tena mnatenda haya nayo; mnaifunikiza madhabahu ya BWANA kwa machozi, kwa kulia na kwa kuugua, hata asiiangalie tena hiyo dhabihu, wala kuitakabali mikononi mwenu na kuiridhia.

Kusoma sura kamili Mal. 2

Mtazamo Mal. 2:13 katika mazingira