Mal. 2:14 SUV

14 Lakini ninyi mwasema, Ni kwa sababu gani? Ni kwa sababu BWANA amekuwa shahidi kati ya wewe na mke wa ujana wako, uliyemtenda mambo ya hiana, angawa yeye ni mwenzako, na mke wa agano lako.

Kusoma sura kamili Mal. 2

Mtazamo Mal. 2:14 katika mazingira