Mal. 3:17 SUV

17 Nao watakuwa wangu, asema BWANA wa majeshi, katika siku ile niifanyayo; naam, watakuwa hazina yangu hasa; nami nitawaachilia, kama vile mtu amwachiliavyo mwanawe mwenyewe amtumikiaye.

Kusoma sura kamili Mal. 3

Mtazamo Mal. 3:17 katika mazingira