Mal. 3:2 SUV

2 Lakini ni nani atakayestahimili siku ya kuja kwake? Au ni nani atakayesimama atakapoonekana yeye? Kwa maana yeye ni mfano wa moto wa mtu asafishaye fedha, ni mfano wa sabuni ya mtu afuaye nguo;

Kusoma sura kamili Mal. 3

Mtazamo Mal. 3:2 katika mazingira