Mhu. 2:19 SUV

19 Naye ni nani ajuaye kama huyo atakuwa mwenye hekima au mpumbavu? Hata hivyo atatawala juu ya kazi yangu yote niliyojishughulisha nayo, ambamo ndani yake mimi nimeonyesha hekima chini ya jua. Hayo nayo ni ubatili.

Kusoma sura kamili Mhu. 2

Mtazamo Mhu. 2:19 katika mazingira