Mhu. 8:15 SUV

15 Kisha nikaisifu furaha, kwa sababu mwanadamu hana neno lo lote lililo jema chini ya jua, kuliko kula, na kunywa, na kucheka; na yakuwa hilo likae naye katika amali yake, siku zote za maisha yake alizompa Mungu chini ya jua.

Kusoma sura kamili Mhu. 8

Mtazamo Mhu. 8:15 katika mazingira