Neh. 2:19 SUV

19 Lakini waliposikia Sanbalati, Mhoroni, na Tobia, mtumishi wake, Mwamoni, na Geshemu, Mwarabu, walitucheka, wakatudharau, wakasema, Ni nini neno hili mnalofanya? Je! Mtaasi ninyi juu ya mfalme?

Kusoma sura kamili Neh. 2

Mtazamo Neh. 2:19 katika mazingira