Neh. 2:20 SUV

20 Ndipo nikawajibu, nikawaambia, Mungu wa mbinguni, yeye atatufanikisha; kwa hiyo sisi, watumishi wake, tutaondoka na kujenga; lakini ninyi hamna sehemu, wala haki, wala kumbukumbu, katika Yerusalemu.

Kusoma sura kamili Neh. 2

Mtazamo Neh. 2:20 katika mazingira