Neh. 3:1 SUV

1 Ndipo akaondoka Eliashibu, kuhani mkuu, pamoja na nduguze makuhani, wakalijenga lango la kondoo; wakazitia boriti zake, wakaisimamisha milango yake; mpaka mnara wa Hamea wakalitakasa, mpaka mnara wa Hananeli.

Kusoma sura kamili Neh. 3

Mtazamo Neh. 3:1 katika mazingira